IBADA YA KUAGA MWILI WA DJ STEVE B
0
0
3 Mga view·
06 Agosto 2023
Ibada ya Kuaga mwili wa aliyekua mshirika wa BCIC Mbezi Beach Dar es salaam Steven Mdoe akijulikana kwa DJ Steve B,Katika viwanja vya Leaders dar es salaam.
Mwangalizi mkuu wa WMI Bishop Sylvester Gamanywa aliongoza ibada hiyo na kupata muda wa kutoa neno la Mungu kwa waombolezaji. Na baadae kuzikwa katika makaburi ya Kinondoni Dar.
Magpakita ng higit pa
0 Mga komento
sort Pagbukud-bukurin Ayon