次に

IBADA YA KUAGA MWILI WA DJ STEVE B

3 ビュー· 06 8月 2023
proshabo
proshabo
5 加入者
5

Ibada ya Kuaga mwili wa aliyekua mshirika wa BCIC Mbezi Beach Dar es salaam Steven Mdoe akijulikana kwa DJ Steve B,Katika viwanja vya Leaders dar es salaam.
Mwangalizi mkuu wa WMI Bishop Sylvester Gamanywa aliongoza ibada hiyo na kupata muda wa kutoa neno la Mungu kwa waombolezaji. Na baadae kuzikwa katika makaburi ya Kinondoni Dar.

もっと見せる

 0 コメント sort   並び替え


次に