Kakobe ahojiwa na Uhamiaji
0
0
3 Tampilan·
04 Agustus 2023
Askofu mkuu wa kanisa la Full Gospel Bible Fellowship la Tanzania Zakary Kakobe amesema kuwa haogopi kuhojiwa juu ya uraia wake sababu yeye si mhalifu na ni raia kamili wa taifa hilo.
Menampilkan lebih banyak
0 Komentar
sort Sortir dengan