अगला

KUTAFUTA KAFARA ZA WATU, Cosmas Kanyerere PT.4, Uso kwa uso na malaika wa MUNGU,

3 विचारों· 31 अक्टूबर 2023
proshabo
proshabo
5 ग्राहकों
5
में Bible Teachings

Ufunuo wa Yohana 17 6
Nikamwona *yule mwanamke amelewa* kwa *damu ya watakatifu,* na *kwa damu ya mashahidi wa Yesu.* Nami nilipomwona nikastaajabu ajabu kuu.

Ufunuo wa Yohana 17 7
Na yule malaika akaniambia, Kwani kustaajabu? Nitakuambia siri ya mwanamke huyu, na ya mnyama huyu amchukuaye, *mwenye vile vichwa saba na zile pembe kumi.*

Ufunuo wa Yohana 17 9
Hapo ndipo penye akili zenye hekima. *Vile vichwa saba* ni *milima saba anayokalia mwanamke huyo.*

और दिखाओ

 0 टिप्पणियाँ sort   इसके अनुसार क्रमबद्ध करें


अगला