Bir sonraki

KUTAFUTA KAFARA ZA WATU, Cosmas Kanyerere PT.4, Uso kwa uso na malaika wa MUNGU,

3 Görünümler· 31 Ekim 2023
proshabo
proshabo
5 Aboneler
5
İçinde Bible Teachings

Ufunuo wa Yohana 17 6
Nikamwona *yule mwanamke amelewa* kwa *damu ya watakatifu,* na *kwa damu ya mashahidi wa Yesu.* Nami nilipomwona nikastaajabu ajabu kuu.

Ufunuo wa Yohana 17 7
Na yule malaika akaniambia, Kwani kustaajabu? Nitakuambia siri ya mwanamke huyu, na ya mnyama huyu amchukuaye, *mwenye vile vichwa saba na zile pembe kumi.*

Ufunuo wa Yohana 17 9
Hapo ndipo penye akili zenye hekima. *Vile vichwa saba* ni *milima saba anayokalia mwanamke huyo.*

Daha fazla göster

 0 Yorumlar sort   Göre sırala


Bir sonraki