Volgende

NENO ALIKUWA KWA MUNGU By Barabara 13 Ulyankulu

4 Bekeken· 06 Augustus 2023
proshabo
proshabo
5 abonnees
5
In Sermons

Neno alikuwa kwa Mungu vyote viliumbwa kwa Neno
Mbingu na nchi vilivyomo vyote ni matendo ya Neno
Kaona watu wamepotea hawamjui muumba wao
Kakubali kuja duniani kutupatanisha na Mungu

Kauvua utukufu wake
Akavaaa mwili wa uchovu

Alipofika dunuani watu hawakumtambua
Kuwa ni Mwokozi wa ulimwengu ametoka kwa Mungu
Hata leo anawasihi nao wengi hawamsikii
Wanatangatanga na ulimwengu, ulimwengu waisha.

Laat meer zien

 0 Comments sort   Sorteer op


Volgende