HAPPY KAMILI - KWA MARA YA KWANZA TANGU NIANZE UIMBAJI MIMI KUALIKWA NA ANGLICAN
0
0
5 Tampilan·
19 Agustus 2023
Di
Musik
Mwimbaji kutoka Mbeya, Happy Kamili amesema kuwa amefanya kazi na makanisa mbalimbali lakini kwa mara ya kwanza tangu aanze uimbaji amepata upendeleo wa kualikwa na Kanisa la Anglican kwa ajili ya kuhudumia mkutano Mwanza.
Menampilkan lebih banyak
0 Komentar
sort Sortir dengan