Inayofuata

HAPPY KAMILI - KWA MARA YA KWANZA TANGU NIANZE UIMBAJI MIMI KUALIKWA NA ANGLICAN

5 Kutazamwa· 19 Agosti 2023
proshabo
proshabo
5 Wanafuatilia
5

Mwimbaji kutoka Mbeya, Happy Kamili amesema kuwa amefanya kazi na makanisa mbalimbali lakini kwa mara ya kwanza tangu aanze uimbaji amepata upendeleo wa kualikwa na Kanisa la Anglican kwa ajili ya kuhudumia mkutano Mwanza.

Onyesha zaidi

 0 Maoni sort   Pangilia kwa


Inayofuata