HAPPY KAMILI - KWA MARA YA KWANZA TANGU NIANZE UIMBAJI MIMI KUALIKWA NA ANGLICAN
0
0
5 Kutazamwa·
19 Agosti 2023
katika
Nyimbo za Injili
Mwimbaji kutoka Mbeya, Happy Kamili amesema kuwa amefanya kazi na makanisa mbalimbali lakini kwa mara ya kwanza tangu aanze uimbaji amepata upendeleo wa kualikwa na Kanisa la Anglican kwa ajili ya kuhudumia mkutano Mwanza.
Onyesha zaidi
0 Maoni
sort Pangilia kwa