HAPPY KAMILI - KWA MARA YA KWANZA TANGU NIANZE UIMBAJI MIMI KUALIKWA NA ANGLICAN
0
0
5 Visningar·
19 Augusti 2023
I
musik
Mwimbaji kutoka Mbeya, Happy Kamili amesema kuwa amefanya kazi na makanisa mbalimbali lakini kwa mara ya kwanza tangu aanze uimbaji amepata upendeleo wa kualikwa na Kanisa la Anglican kwa ajili ya kuhudumia mkutano Mwanza.
Visa mer
0 Kommentarer
sort Sortera efter