Hasta la próxima

HAPPY KAMILI - KWA MARA YA KWANZA TANGU NIANZE UIMBAJI MIMI KUALIKWA NA ANGLICAN

5 vistas· 19 Agosto 2023
proshabo
proshabo
5 Suscriptores
5
En Música

Mwimbaji kutoka Mbeya, Happy Kamili amesema kuwa amefanya kazi na makanisa mbalimbali lakini kwa mara ya kwanza tangu aanze uimbaji amepata upendeleo wa kualikwa na Kanisa la Anglican kwa ajili ya kuhudumia mkutano Mwanza.

Mostrar más

 0 Comentarios sort   Ordenar por


Hasta la próxima