Inayofuata

Kuokoka siyo kubadili dini ni kuharibu dini - Askofu Sylvester Gamanywa

3 Kutazamwa· 06 Agosti 2023
proshabo
proshabo
5 Wanafuatilia
5

Karibu katika Huduma zetu Zitolewazo na BCIC Mbezi Beach, kila siku kuanzia jumatatu hadi ijumaa, utapata huduma ya ushauri wa Kibiblia na Maombezi.

Jumapili kuna ibada ya Kiingereza ambayo huanza saa 1:30 Asubuhi hadi saa 3:30 Asubuhi na kufuatiwa na Ibada kuu ya Kiswahili kuanzania Saa 4:00 Asubuhi hadi saa 7:30 Mchana.

Tanzama ibada live/mubasha kilasiku Jumapili kwenye youtube na Facebook. Usikose.

Onyesha zaidi

 0 Maoni sort   Pangilia kwa


Inayofuata