Следующий

Kuokoka siyo kubadili dini ni kuharibu dini - Askofu Sylvester Gamanywa

3 Просмотры· 06 Август 2023
proshabo
proshabo
5 Подписчики
5

Karibu katika Huduma zetu Zitolewazo na BCIC Mbezi Beach, kila siku kuanzia jumatatu hadi ijumaa, utapata huduma ya ushauri wa Kibiblia na Maombezi.

Jumapili kuna ibada ya Kiingereza ambayo huanza saa 1:30 Asubuhi hadi saa 3:30 Asubuhi na kufuatiwa na Ibada kuu ya Kiswahili kuanzania Saa 4:00 Asubuhi hadi saa 7:30 Mchana.

Tanzama ibada live/mubasha kilasiku Jumapili kwenye youtube na Facebook. Usikose.

Показать больше

 0 Комментарии sort   Сортировать по


Следующий