التالي

Askofu Kakobe amsihi Rais Magufuli alale

4 المشاهدات· 04 أغسطس 2023
proshabo
proshabo
5 مشتركين
5

“…Umewahi kutuambia kwamba unashindwa kulala kwa sababu kitanda kimejaa mafaili…lakini leo tunakusihi…hebu jipongeze ulale....bila shaka utalala leo eee…” – kauli ya Askofu wa Full Gospel Bible Fellowship, Zakaria Kakobe aliyoitoa wakati wa hafla ya kuipokea ndege ya pili ya Airbus A220-300 katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA).

أظهر المزيد

 0 تعليقات sort   ترتيب حسب


التالي