Askofu Kakobe amsihi Rais Magufuli alale
0
0
4 Pogledi·
04 Kolovoz 2023
“…Umewahi kutuambia kwamba unashindwa kulala kwa sababu kitanda kimejaa mafaili…lakini leo tunakusihi…hebu jipongeze ulale....bila shaka utalala leo eee…” – kauli ya Askofu wa Full Gospel Bible Fellowship, Zakaria Kakobe aliyoitoa wakati wa hafla ya kuipokea ndege ya pili ya Airbus A220-300 katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA).
Prikaži više
0 Komentari
sort Poredaj po