Inayofuata

Askofu Kakobe amsihi Rais Magufuli alale

4 Kutazamwa· 04 Agosti 2023
proshabo
proshabo
5 Wanafuatilia
5

“…Umewahi kutuambia kwamba unashindwa kulala kwa sababu kitanda kimejaa mafaili…lakini leo tunakusihi…hebu jipongeze ulale....bila shaka utalala leo eee…” – kauli ya Askofu wa Full Gospel Bible Fellowship, Zakaria Kakobe aliyoitoa wakati wa hafla ya kuipokea ndege ya pili ya Airbus A220-300 katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA).

Onyesha zaidi

 0 Maoni sort   Pangilia kwa


Inayofuata