Hasta la próxima

Askofu Kakobe amsihi Rais Magufuli alale

4 vistas· 04 Agosto 2023
proshabo
proshabo
5 Suscriptores
5

“…Umewahi kutuambia kwamba unashindwa kulala kwa sababu kitanda kimejaa mafaili…lakini leo tunakusihi…hebu jipongeze ulale....bila shaka utalala leo eee…” – kauli ya Askofu wa Full Gospel Bible Fellowship, Zakaria Kakobe aliyoitoa wakati wa hafla ya kuipokea ndege ya pili ya Airbus A220-300 katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA).

Mostrar más

 0 Comentarios sort   Ordenar por


Hasta la próxima