Bible Teachings

proshabo
1 Views · 1 year ago

#TRIUMPHING_OVER_SIN | KUSHINDA DHAMBI
#AlwaysSeekAssistanceAndGuidanceFromBrethrenAndMenOfGod #ForItIsBetterTwoThanOne
#AvoidLivingAGuileLifeFullOfFalseSuccessVictoryAndTriumphOverSinYetYouAreDefeated

The Servant of God ISMAEL MWADZOMBO RIMBA sermon excerpt 2023.

proshabo
3 Views · 1 year ago

MADHABAHU YA SIRI ZA BIBLIA.
Kwa maana dunia itajazwa maarifa ya utukufu wa BWANA, kama maji yaifunikavyo bahari.
Habakuki 2:14
Maarifa ya Ki-Mungu
@SIRI ZA BIBLIA
www.sirizabiblia.com
+255 758 708 804
https://linktr.ee/sirizabiblia

Instagram Account
https://www.instagram.com/siri_za_biblia/

SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI

proshabo
1 Views · 1 year ago

#InawezekanaKushindaDhambi #ABCGLOBAL

proshabo
2 Views · 1 year ago

Mahubiri, Preaching, Eliona Kimaro, KKKT, KKKT Kariokoo, KKKT Kijitonyama, Messages, kkkt, eliona kimaro, daniel mgogo, mch eliona kimaro, rev eliona kimaro, mch daniel mgogo, sermons, teaching, preaching, kkkt kariokoo, kkkt kijitonyama, tanzania, bongo, ujumbe, neno, personal growth, lutheran church

proshabo
4 Views · 1 year ago

Mwalimu Goodluck Mushi anafundisha kupitia maandiko matakatifu juu ya dhambi ya uzinzi na uasherati inavyoadhiri familia, huduma na shughuli za kiuchumi.
anatolea mfano ROHO YA YEZEBELI (THE SPIRIT OF JEZEBEL) jinsi ilivyotingisha falme.
hadi sasa roho ya Yezebeli inaendelea kuwakumba wanadamu kwa namna mbalimbali.
endelea kufuatilia na hakika utapata kitu.
hii ni sehemu ya masomo yanayoendelea yenye kichwa
UMUHIMU WA KUOMBEA NJIA YAKO DUNIANI
KATIKA MAJIRA MAPYA
MWANZO 6:12;20:1-3,17-18
WARUMI 6:23
KUTOKA 20:14
RUMI 7:19-20
1KOR 6:18
1KOR 6:16
HESABU 25:1-3


Kwa mlio mbali karibu Subscribe ili tuungane pamoja kupitia Youtube Channel yetu (KKKT KARIAKOO) katika ibada zetu zote #LIVE. Pia waweza kufuatilia mafundisho mafupi mafupi kupitia Instagram (@lutheran_kariakoo)

-~-~~-~~~-~~-~-
Please watch: "Moto@KKKT KARIAKOO "
https://www.youtube.com/watch?v=Lmg5AroZNKQ
-~-~~-~~~-~~-~-

proshabo
2 Views · 1 year ago

DHAMBI NI UASI NA UASI NI KWENDA
KINYUME NA MAAGANO AU MAKUBALIANO.
HIZI NI NJIA NNE ZINAZOWEZA KUKUSAIDIA KUJILINDA ILI USIFANYE DHAMBI.
ILI KUPATA MAFUNDISHO HAYA KWENYE KIFAA CHAKO TAFADHALI BONYEZA LINK HII HAPA https://www.dinuzenogospelday.com/

proshabo
4 Views · 1 year ago

Dhambi ni Mradi, ni mradi kivipi?
Dhambi ni Bwana, ni Bwana Kivipi?
Dhambi ni Uasi, ni Uasi kivipi?
Dambi ilianzia mbinguni, ilikuaje?

Biblia imeeleza wazi ni namna gani dhambi iliingia , ni wapi ilianzia na ni kwa vipi tunaishiriki na namna ya kuishinda...Ili kujua zaidi fuatilia video hii.

proshabo
3 Views · 1 year ago

Jinsi ya kuishinda dhambi na tamaa zake

proshabo
1 Views · 1 year ago

Baada ya kutazama sehemu ya kwanza kuhusu tatizo la dhambi, sehemu ya pili ambayo imetuonyesha dhambi ni nini, na sehemu ya tatu ambayo hutudhihirishia vile asili yetu ilivyo na nafasi ya dhambi katika asili hiyo. Sasa tunajifunza ni nini kifanyike ili tupate uzoefu wa kuishinda dhambi.

katika Video hii , tunajifunza kwamba Kushinda dhambi hakuji kwa nia pekee na mipango thabiti bali kuna jambo la muhimu ambalo halitokani na sisi na ndilo litupatialo ushindi.

proshabo
2 Views · 1 year ago

Fanya hivi ili KUISHINDA dhambi- Rev Thomas Simon

proshabo
1 Views · 1 year ago

Mfululizo huu wa Mada ya Jinsi ya Kuishinda dhambi ya UZINZI inayofundishwa na Mwalimu Dickson C Kabigumira wa Kanisa la ABC, Utakuwa ukikujia kupitia chaneli hii, Tafadhali subscibe kwenye chaneli yetu uwe wa kwanza kupata mafundisho mapya kila yakiwekwa.

proshabo
2 Views · 1 year ago

Mfululizo huu wa Mada ya Jinsi ya Kuishinda dhambi ya UZINZI inayofundishwa na Mwalimu Dickson C Kabigumira wa Kanisa la ABC, Utakuwa ukikujia kupitia chaneli hii, Tafadhali subscibe kwenye chaneli yetu uwe wa kwanza kupata mafundisho mapya kila yakiwekwa.

proshabo
2 Views · 1 year ago

Mfululizo huu wa Mada ya Jinsi ya Kuishinda dhambi ya UZINZI inayofundishwa na Mwalimu Dickson C Kabigumira wa Kanisa la ABC, Utakuwa ukikujia kupitia chaneli hii, Tafadhali subscibe kwenye chaneli yetu uwe wa kwanza kupata mafundisho mapya kila yakiwekwa.

proshabo
1 Views · 1 year ago

Tunaupokea wokovu mara moja tu.

Hii ina maana kwamba kitendo cha kugusa dhambi hata mara moja hasa dhambi ya uzinzi ni hatari kuliko kawaida kwa wokovu wako. Fuatilia haya na mengine mengi katika ujumbe wa somo hili

proshabo
1 Views · 1 year ago

Mfululizo huu wa Mada ya Jinsi ya Kuishinda dhambi ya UZINZI inayofundishwa na Mwalimu Dickson C Kabigumira wa Kanisa la ABC, Utakuwa ukikujia kupitia chaneli hii, Tafadhali subscibe kwenye chaneli yetu uwe wa kwanza kupata mafundisho mapya kila yakiwekwa.

Gospel #Kweli #UZINZI

proshabo
1 Views · 1 year ago

Lengo letu ni kuleta mafundisho yenye uzima kwa makanisa ya Kikristo na nuru ya ukweli kwa wale wanaoishi gizani. Tutaufunua ulimwengu wa roho kupitia ushuhuda wa kila mtu ambaye amepata uzoefu wake. Katika kurasa hizi pia tutaangazia dhana zisizo za kawaida, kurejesha injili ya kanisa la kwanza kwa ajili ya wokovu wa wale waliopotea. Hatutetei madhehebu au sehemu maalum; tuko wazi kwa wapentekoste, wapentekoste, wa jadi, walutheri na wengineo.

proshabo
2 Views · 1 year ago

Mfululizo huu wa Mada ya Jinsi ya Kuishinda dhambi ya UZINZI inayofundishwa na Mwalimu Dickson C Kabigumira wa Kanisa la ABC, Utakuwa ukikujia kupitia chaneli hii, Tafadhali subscibe kwenye chaneli yetu uwe wa kwanza kupata mafundisho mapya kila yakiwekwa.

proshabo
2 Views · 1 year ago

Mfululizo huu wa Mada ya Jinsi ya Kuishinda dhambi ya UZINZI inayofundishwa na Mwalimu Dickson C Kabigumira wa Kanisa la ABC, Utakuwa ukikujia kupitia chaneli hii, Tafadhali subscibe kwenye chaneli yetu uwe wa kwanza kupata mafundisho mapya kila yakiwekwa.

proshabo
2 Views · 1 year ago

Mfululizo huu wa Mada ya Jinsi ya Kuishinda dhambi ya UZINZI inayofundishwa na Mwalimu Dickson C Kabigumira wa Kanisa la ABC, Utakuwa ukikujia kupitia chaneli hii, Tafadhali subscibe kwenye chaneli yetu uwe wa kwanza kupata mafundisho mapya kila yakiwekwa.

proshabo
3 Views · 1 year ago

#HaleluyaTv #ProphetRolinga #OmegaMinistriesChurchofAllNations #OCOAN

Kuendelea kupata Shuhuda mbalimbali na Maneno zaidi, tufuatilie kupitia mitandao yetu ya kijamii:-
Facebook : https://www.facebook.com/prophetrolinga
Instagram : https://www.instagram.com/prophetrolinga/
YouTube : https://www.youtube.com/c/HaleluyaTv
Audiomack : https://audiomack.com/prophetrolinga

proshabo
3 Views · 1 year ago

Juu ya yote unamhitaji YESU katika namna hii ili uishinde dhambi.

proshabo
2 Views · 1 year ago

MBINU 5 RAHISI ZA KUISHINDA DHAMBI NA KUWA MTAKATIFU KIRAHISI MNO - Apostle Johaness John

proshabo
1 Views · 1 year ago

Dhambi si kile tutendacho tu, bali ni vile hasa tulivyo. Nini nini kinapswa kuondolewa katika miili yetu ili asili ya kupenda dhambi iondolewe.

Wakati fulani tunapanga, tunanuia, tunashauku, na tunaamua kutotenda dhambi tena lakini katika utekelezaji miili yetu hufanya tofauti na tulivyopanga, kuna jambo zaidi la kujua katika asili ya mwanadamu ili tujijue ni kipi cha kushughulikia katika hatua za kuishinda dhambi.

Somo hili hutelezea shida iko wapi na nini kifanyike katika asili ya mwanadamu ili aweze kuishinda dhambi.

proshabo
3 Views · 1 year ago

Wengi wakiulizwa dhambi ni nini husema ni Uasi wa sheria 1 Yoh 3:4, warumi 7:7,8. Ni jibu sahihi lakini halina kina cha kushughulikia mzizi wa dhambi ili kumletea mtumwa wa dhambi ukombozi.

Kujua dhambi ni nini, kwa kina katika shina lake ni hatua muhimu kuelekea kuishinda dhambi, kuielewa juu juu hupelekea kuishughulikia juu juu...

KUJUA MZIZI WA MAANA YA DHAMBI, ILI KUISHUGHULIKIA ING'OLEWE MAISHANI MWAKO,FUATILIA VIDEO HII

proshabo
2 Views · 1 year ago

Hivi bas, tuazidi kutenda dhambi maanake hakuna kitendo tutendalo laweza kutuokoa kutoka dhambi? Paulo ajibu swali hili katika kitabu cha warumi ambalo ndilo mwongozo wa majadiliano wa kipindi cha leo. Jiunge nasi Tubarikiwe

proshabo
1 Views · 1 year ago

Subscribe katika channel yetu ya kanisa la AREMA - Hema la Uponyaji na Ukombozi ili uendelee kupata mafundisho ya Neno la MUNGU

proshabo
3 Views · 1 year ago

Unaweza kunifuatilia katika mitandao yangu ya kijamii

Like my Facebook: https://web.facebook.com/jnanauka/
Follow my Instagram: https://www.instagram.com/joelnanauka_/
Subscribe my YouTube: https://www.youtube.com/channel/UCned...

#JoelNanauka#Maarifa#SeeYouAtTheTop

proshabo
2 Views · 1 year ago

Katika Kitabu cha WAEFESO 5:3 imeandikwa “Lakini uasherati usitajwe kwenu kamwe, wala uchafu wo wote wa kutamani, kama iwastahilivyo watakatifu;”. Mtume Paulo anatuasa kuwa kwa watakatifu neno la uasherati au uchafu lisitajwe kamwe. Neno uasherati au uzinzi kwa mara nyingi hutumika kumaanisha jambo moja. Uasherati ni pale tendo la ndoa likifanywa na mtu kabla hajaoa au kuolewa. Uzinzi kwa upande mwingine, ni tendo la ndoa likifanywa na mmojawapo wa wanandoa pamoja na mwanaume/au mwanamke asiyehusika katika hiyo ndoa. Hata hivyo Biblia inasema kila dhambi ina mshahara wake ambao ni mauti.

More updates:
* Blog: https://www.gospomedia.com
* Gospo Media App - http://bit.ly/2p6Hjkm
* Facebook: http://bit.ly/2yUN1aL
* Instagram: http://bit.ly/33uYSdN

proshabo
3 Views · 1 year ago

Jinsi ya kuishinda roho ya Uzinzi na Uasherati - (Na. Askofu Dr. Fredrick Simon)




#mahubiri #fredricksimon #pcct #uzinzi #uasherati

proshabo
2 Views · 1 year ago

TOLPM 0754855268

proshabo
7 Views · 1 year ago

Mfululizo huu wa Mada ya Jinsi ya Kuishinda dhambi ya UZINZI inayofundishwa na Mwalimu Dickson C Kabigumira wa Kanisa la ABC, Utakuwa ukikujia kupitia chaneli hii, Tafadhali subscibe kwenye chaneli yetu uwe wa kwanza kupata mafundisho mapya kila yakiwekwa

proshabo
3 Views · 1 year ago

Kwa Maombi, Maombezi, Ushauri wasiliana nasi kwa
Mobile: +255 764 711 544
E-mail: rgcm0717@gmail.com

Karibu usikilize Neno la Mungu kupitia:

Youtube: http://www.youtube.com/c/RGCMTV​
Facebook: https://www.facebook.com/rgcministry
Instagram: https://www.instagram.com/rgcministry
Twitter:https://twitter.com/rgcm_ministry
TikTok:https://www.tiktok.com/@rgcministry
Online Radio:http://rgcministry.ezyro.com/?i=1

SADAKA
M-PESA +255 (0) 764 711 544

CRDB BANK ACC.NO: 0152236827400 (JINA:DANIELY JACKSON MREMA. MUNGU AKUBARIKI

proshabo
2 Views · 1 year ago

Thisdaso muccobs choir TMC from Moshi

proshabo
2 Views · 1 year ago

Matusi ni dhambi kama dhambi nyingine. Watu wengi wataenda motoni kwa sababu ya dhambi ya matusi. Mungu hataki tutukane!!

proshabo
27 Views · 1 year ago

Song: Pendo Kuu
Artist: Mamajusi Choir


Song Lyrics:

Verse 1
Pendo kuu la Yesu
lilitosha Kalvari
Msamaha wa dhambi
niliupata Kalvari
Alinipenda Yesu
Akaingia gharama
Msamaha wa dhambi
niliupata Kalvari


Chorus:
Alilipa deni zangu,
kwa gharama ya mauti
Msamaha wa dhambi
niliupata Kalvari
Alilipa deni zangu,
kwa gharama ya mauti
Msamaha wa dhambi
niliupata Kalvari

Verse 2
Yesu Atuchunga,
Mchunga Wetu
Naye Atufuta
machozi yetu
Mkononi Mwake
hatuna hofu
Daima twapata
kwake wokovu


Chorus:
Alilipa deni zangu,
kwa gharama ya mauti
Msamaha wa dhambi niliupata Kalvari
Alilipa deni zangu,
kwa gharama ya mauti
Msamaha wa dhambi niliupata Kalvari

Verse 3
Namtolea Yesu
Nampa moyo wote
Ntampenda Yesu namwandama kila saa
Chini ya msalaba
nataka simama
Ndiye mwamba safarini
Kwa kivuli chema


Chorus:
Alilipa deni zangu,
kwa gharama ya mauti
Msamaha wa dhambi niliupata Kalvari Alilipa deni zangu,
kwa gharama ya mauti
Msamaha wa dhambi niliupata Kalvari

Verse 4
Nataka nifahamu
nizidi kupambanua
Mapenzi Yake nifanye
yanayompendeza
Nataka nikae naye
kwa mazungumzo
Nizidi kuwaonyesha
wengine wokovu Wake


Chorus:
Alilipa deni zangu,
kwa gharama ya mauti
Msamaha wa dhambi
niliupata Kalvari
Alilipa deni zangu,
kwa gharama ya mauti
Msamaha wa dhambi niliupata Kalvari Msamaha wa dhambi niliupata Kalvari Msamaha wa dhambi niliupata Kalvari Msamaha wa dhambi niliupata Kalvari Msamaha wa dhambi niliupata Kalvari Msamaha wa dhambi niliupata Kalvari




Showing 22 out of 23