Bible Teachings

proshabo
2 Views · 1 year ago

ARARAT CHRIST MINISTRY (TV)
@ararat christ ministry church#Upendo Wa Mungu Katika Maisha Yako..

proshabo
2 Views · 1 year ago

#UhaiOnlineTv#DenisMpagaze#FikiriTofauti
CONTACT UHAI MEDIA +255 752 348 789

MAFUNDISHO YA NENO LA MUNGU
https://www.youtube.com/watch?v=BkCfS_stC30&list=PLG4PW7sUJu42P7P0miZ6nKPJ0bN7nACVd
HABARI
https://www.youtube.com/watch?v=RPFTIKZOegk&list=PLG4PW7sUJu43BKMTjrbjKvFbLt97FLrk_
FIKIRI TOFAUTI
https://www.youtube.com/watch?v=_ciwgUsFAvI&list=PLG4PW7sUJu42n7lf4Sy1elnFCN26cY9nl
MAKALA FIKRA TUNDUIZI
https://www.youtube.com/watch?v=8yyheoVLmD4&list=PLG4PW7sUJu40i98c5d3UCW7Y95Te6BAFu
SHUHUDA
https://www.youtube.com/watch?v=p67DH6kGHH4&list=PLG4PW7sUJu42xKxBrRqGm0ZCMiUpm5OvA
FAHAMU ZAIDI YA JANA
https://www.youtube.com/watch?v=6_ykbW3rtu4&list=PLG4PW7sUJu400nRsOEZLlK3_Du7qis6NX
SIMULIZI ZA VITABU
https://www.youtube.com/watch?v=5GpFju_JE6A&list=PLG4PW7sUJu43zmc4AjNAefcNemyxDJ49U
BIBLIA YANGU
https://www.youtube.com/watch?v=jl0lj2-BEmQ&list=PLG4PW7sUJu43-SW8MkliT5B6X_JdEc6dj
NYIMBO ZA INJILI
https://www.youtube.com/watch?v=pIElorLigs4&list=PLG4PW7sUJu4397_BeX_xYCypq2GF9cxG9

proshabo
1 Views · 1 year ago

Filamu za Kikristo | Njia ya Utakaso na Uingiaji Katika Ufalme wa Mungu (Dondoo Teule)

Je, kazi ya hukumu ya Mungu katika siku za mwisho humtakasa na kumwokoa vipi mwanadamu? Je, kwa kweli tunapitiaje hukumu na kuadibiwa na Mungu ili tuweze kupata ukweli, uzima, na kustahili wokovu na kuingia katika ufalme wa mbinguni? Video hii itakuambia majibu, na kukuelekeza kwa njia ya kuingia ufalme wa mbinguni.

Tafadhali kumbuka: Video zote kwenye idhaa hii zipo ili zitatazamwe bila malipo. Kupakia, kubadilisha, kupotosha, au kudondoa video zozote kutoka katika mtandao wa YouTube wa Kanisa la Mwenyezi Mungu hakukubaliki kwa mtu yeyote au kikundi chochote bila kupata idhini kwanza. Kanisa la Mwenyezi Mungu lina haki ya kufuatilia njia yoyote na njia zote za kisheria inapotukia kwamba kuna ukiukaji wowote wa sheria hizi. Tafadhali wasiliana nasi kabla ili ufanye maombi ya usambazaji kwa umma.

Injili ya Kushuka kwa Ufalme: https://sw.kingdomsalvation.org/
Kanisa la Mwenyezi Mungu: https://sw.godfootsteps.org/
Unakaribishwa kupakua programu ya Kanisa la Mwenyezi Mungu.
Google Play: https://play.google.com/store/apps/details?id=org.godfootsteps.thechurchofalmightygod&hl=sw
App Store: https://itunes.apple.com/ke/ap....p/the-church-of-almi
CAG Hymns - Nyimbo Mpya za Ufalme App
Google play: https://play.google.com/store/apps/details?id=org.GodFootSteps.NewSongsOfTheKingdom&hl=sw&pli=1
App store: https://apps.apple.com/ke/app/id1447653528
Barua Pepe: contact.sw@kingdomsalvation.org

proshabo
2 Views · 1 year ago

"Kijito cha utakaso" simply translated as cleansing fountain is a happy hymn praising God for the gift of the blood of Jesus.
Glory to Him who makes us new creation through the sacrifice of his son, our saviour.


CREDITS:

VOCALISTS:
Sopranos:
Corazon Kanini
Catherine Mutua
Sally Nzuli
Faith Shiku
Debra Odiwuor
Diana Kitaka

Altos:
Lavine Ateng'
Zuena Wimana
Selah Ythera
Leah Kioko
Lauryn Blessing

Tenors:
Mary Nyoike
Victor Tsuma
Esther Owido
Samuel Ngumo

BAND:
Caleb Fadhili - 1st Keys & MD
Laktari Stephen - Auxiliary Keys
Christopher Agina - Saxophone
Dickson Sewe - Lead guitar & MD 2
Sam Mureithi - Bass guitar
Brian Ouma - Drums

VOCAL ARRANGEMENTS by:
Peter Mchomvu

AUDIO LIVE RECORDING by
Noah Otiende and
Manu Baldman

POST-PRODUCTION by
Dominic Khaemba

DIRECTED by
Noel Kimaru

CAMERA CREW
Joseph Olony
Nahashon Michael
Elsie Somi
David Kings

PRODUCTION ASSISTANTS
Elijah Kimuthia
Blessing Komo

PHOTOGRAPHER
Brian Umaka

RECORDED LIVE AT ANDERSON CONVENTION CENTER,TNH.

Be Blessed!

proshabo
1 Views · 1 year ago

Hey people around the world , welcome to my channel , you are able to find different gospel songs and preaching videos here to my channel thank you.

proshabo
1 Views · 1 year ago

Agano linadai badiliko

proshabo
1 Views · 1 year ago

Ibada Iliyoongozwa na Mch. Mbarikiwa Mwakipesile.

KWA MAWASILIAMO ZAIDI PIGA SIMU
0655436603 au 0769015164

proshabo
1 Views · 1 year ago

Ibada Hii Ilifanyika Kanisa La Vuka Yordani Kisongo Waya - Jijini Arusha Tanzania na kuongozwa na @Bishop Elibariki Sumbe Mwangalizi na Askofu Mkuu Wa Makanisa Ya Grace Evangelical Church Tanzania (G.E.C.T)

Follow Our Social Media Pages :
https://facebook.com/BishopElibarikiSumbe
https://instagram.com/BishopElibarikSumbe
https://tiktok.com/BishopElibarikiSumbe
https://twitter.com/BishopSumbe
Website
https://Vukayordani.Org

LIKE | COMMENT | SHARE.

UBARIKIWE.

#VukaYordaniChurch #KisongoWaya #ArushaTanzania

proshabo
3 Views · 1 year ago

Nipo hapa kwa ajili ya Kumshuhidia BWANA YESU na KUTAHADHARISHA Watu wa Mungu kuhusu WOKOVU, KUTUNZA UTAKATIFU na Jinsi ya KUTENGENEZA na BWANA YESU. Mara nyingi mimi hushuhudia maeneo ya Dodoma Stand ya Mabasi.

Kwa MAOMBI na Kutuma Sadaka kwa Ajili ya Kazi ya Mungu, tafhadhali tumia: Tigo +255 716 778 693 au Voda +255 768 906 552

Tafadhali SHARE na WENGINE ili Watu wa Mungu WAPONE.

Bwana Yesu Akubariki sana kwa Kusimama nami kuifanya KAZI ya MUNGU. Amina.

proshabo
2 Views · 1 year ago

#DianaSarakikya #KijitoChaUtakaso #NgommaGospel
Kijito cha utakaso is a hymn song which is a worship song,,,,,Be blessed while you watch.
©2019 Administered by Ngomma VAS Limited.

proshabo
1 Views · 1 year ago

Milele ni muda mrefu sana sana sana sana.

Sasa huo muda mrefu sana sana sana sana uwe bila Kristo, ukiwa umetengwa na Mungu katika ziwa liwakalo kwa moto na kiberiti ambao funza wake hawafi na watu husaga meno usiku na mchana utakuwa ni muda mrefu mno mno mno wa mateso makali na vilio.

Mungu aliupenda mno ulimwengu akamtoa Mwanae wa pekee Yesu Kristo ili aje afe msalabani kwa ajili yako na yangu ili alipe gharama kwa ajili ya dhambi zako na zangu.

Maandiko yanasema kuwa alijeruhiwa kwa ajili ya makosa yako na yangu, alichubuliwa kwa ajili ya maovu yako na yangu, adhabu ya amani yetu iliwekwa juu Yake na kwa kupigwa Kwake sisi sote tumepona.

Maandiko tena yanasema kuwa kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu hata akamtoa Mwanae wa pekee ili kila ameaminiye asipotee bali awe na uzima wa milele.(Yohana 3:16)

Usipomwamini Mwana pekee wa Mungu utapotea milele.

Utakufa na kuingia kwenye umilele bila Mungu.

Yesu alisema kuwa Yeye Ndiye njia, kweli na uzima na hakuna mtu ajaye kwa Baba isipokuwa kwa njia Yake Yeye.

Hakuna njia nyingine ya kumwendea Mungu isipokuwa kwa njia ya Yesu Kristo, kumwamini ili aziondoe dhambi zako na uweze kuishi maisha ya ushindi juu ya dhambi maana kila mmoja wetu anahitaji kuwa na amani na watu wote na huo utakatifu ambao mtu asipokuwa nao hawezi kumwona Mungu.

Maandiko yanatuambia kuwa hakuna Jina jingine ambalo tumepewa wanadamu litupasalo kuokolewa kwalo ila Jina la Yesu.(Matendo 4:12)

Hakuna dini inaweza kutuokoa maana hakuna dini iliyokufa kwa ajili ya dhambi zetu.

Dini haiwezi kumfikisha mtu kwa Mungu maana dini sio Njia ya kwenda kwa Baba.

Yesu Ndiye njia ya kwenda kwa Baba.

Maandiko yanatuambia kuwa uzima wa milele ndiyo huu, kumjua Mungu wa kweli wa pekee na Yesu Kristo aliyemtuma.

Yesu pekee Ndiye awezaye kumfunua Baba kwetu.

Mtu wa Mungu kwanini upotee.

Mwamini Yesu leo.

Fungua mlango wa moyo wako na maisha yako Yesu aingie ndani akusamehe na kukuokoa na dhambi zako.

Unahitaji kuzaliwa mara ya pili maana mtu asipozaliwa mara ya pili hataweza kuingia katika Ufalme wa Mungu wala wa mbinguni.

Geuka leo uiache dunia na mambo yake uje kwa Yesu akuokoe na kukusafisha na dhambi zako.

Yesu alisema "Njooni kwangu nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo nami nitawapumzisha." (Mathayo 11:28)

Hakuna pumziko lolote nje ya Yesu.

Dhambi ina nguvu mno juu ya mtu anapokuwa nje ya Yesu.

Dhambi inasumbua na kulemea mtu akiwa nje ya Yesu.

Wakati Yesu anakaribia kuzaliwa, malaika alizungumza na baba yake Yesu wa kufikia na kumwambia kuwa mkewe atazaa mtoto Mwanamume na Jina Lake atamwiita Yesu maana Yeye Ndiye atakayewaokoa watu Wake na dhambi zao. (Mathayo 1:21)

Bila Yesu huwezi kuokoka na dhambi zako.

Dhambi zitakuangamiza na kukupoteza.

Maandiko yanamnukuu Yesu akisema tutwae nira Yake tujifunze Kwake maana Yeye ni mpole na mnyenyekevu wa moyo nasi tutapata raha nafsini mwetu.

Bila Yesu huwezi kuwa na raha nafsini mwako.

Raha nafsini na maishani inakuja kwa kumpata Yesu na kuishi sawasawa na mafundisho Yake na Neno Lake.

Mtu wa thamani wa Mungu kwanini upotee na kuangamia wakati Yesu alishakuja ili usipotee wala usiangamie?

Yesu Mwenyewe alisema kuwa amekuja kutafuta na kuokoa kilichopotea.

Mtu wa thamani wa Mungu kila mmoja wetu bila Yesu atapotea na kuangamia.

Ni ndani ya Yesu na Yesu pekee ndipo tunapopatikana na kuokolewa.

Mtu wa Mungu wa thamani mbinguni ni halisi sana na pia jehanum ni halisi mno.

Mbinguni ni mahali pa raha, amani na furaha ya milele.

Jehanum ni mahali pa maumivu, mateso, kilio na kusaga meno milele.

Bila Yesu unakoelekea ni jehanum.

Jehanum ni mahali pa mateso, maumivu, kilio, kusaga meno milele.

Maandiko yanasema mtu mwenye busara huiona hatari inakuja akajificha lakini wapumbavu huendele mbele na huangamia.

Pa kujificha na hatari inayokuja ni kwa Yesu.

Mtu wa thamani wa Mungu, njoo kwa Yesu ujifiche na hatari inayokuja.

Ukichagua kumpuuza Yesu basi jua kuwa unaelekea kwenye hatari ya umilele bila Mungu.

Maandiko yanasema mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke lazima tu atakufa.

Na wanadamu wameandikiwa kufa mara moja na baada ya kifo ni hukumu.

Hakuna kiasi cha maombi ambayo utaombewa ukishakufa ambacho kinaweza kukusaidia.

Maana hata kabla watu hawajagundua kuwa umekufa utakuwa umesha hukumiwa.

Na hukumu ya Mungu haina rufaa.

Yesu pekee Ndiye awezaye kukuepusha na hukumu ijayo.

Maandiko yanasema "Heri wafu wafao katika Bwana kuanzia sasa, wapate kupumzika baada ya taabu zao na matendo yao yafuatana nao."

Usipokufa katika Bwana haitakuwa heri kwako.

Usipokufa katika Bwana hautapumzika.

Haijalishi wangapi wanaitakia roho yako ipumzike mahali pema peponi.

Roho hazipumzishwi mahali pema peponi kwa kuombewa bali kwa maamuzi ya kumkubali Yesu tungali hai mtu wa thamani wa Mungu.

Ukimtaa Yesu leo mbele za watu Yeye Naye atakukataa mbele za Baba Yake.

Mtu wa thamani wa Mungu njoo kwa Yesu leo.

Mpe maisha yako.

Zaliwa mara ya pili.

Okoka.

proshabo
1 Views · 1 year ago

#UTAKATIFU

Nini maana ya utakatifu?

Utakatifu unatokana na neno la kiebrania “Qadash” likimaanisha “kujitenga au kutengwa” kwa usafi. Pia kigiriki linatajwa kama “Hagios” likimaanisha kutokuwa na makosa/udhaifu au uchafu.
Hivyo basi utakatifu ni ule usafi kwa kutengwa na Mungu mwenyewe aliye msafi na asiye na makosa/madhaifu.
Tafsiri fupi ya Utakatifu ni usafi wa kiroho na kimwili.

“ kwa kuwa mim ni Bwana, Mungu wenu; takaseni nafsi zenu basi; iweni watakatifu, kwa kuwa mimi ni mtakatifu…” (Law 11:44-45)
“ kwa maana imeandikwa mtakuwa watakatifu kuwa mimi ni mtakatifu” (1 Pet 1:16)
“watakuwa watakatifu kwa Mungu wao…” Law 21:6-7

Utakatifu si tu kutotenda uovu bali kulazimishwa na Kristo mwenyewe. Mtu asijivunie kwamba hatendi maovu basi yeye ni mtakatifu, la hasha lazima awe anazuiwa kutenda uovu na imani. Huu ndio utakatifu.
#Kweli_muhimu_kuhusu_utakatifu

1.Utakatifu unahusu mwili, nafsi na roho.
Mungu wa amani mwenyewe awatakase kabisa, nanyi nafsi zenu na roho zenu na miili yenu mhifadhiwe mwe kamili, bila lawama, wakati wa kuja kwake Bwana wet Yesu Kristo” (1thes 5:23)
Vitu hivi ni kama chenza, chungwa na limao ni matunda jamii moja lakini yenye radha tofauti.
Watu hawawezi kuona nafsi na roho za wenzao bali mwili tu hivyo basi matendo ya mwili yawe safi pasipo lawama.
Utakatifu katika mwili ni pamoja jinsi;

-Unavyokula- mtumishi haifai kula hovyo hovyo na bila ustaarabu
-Unavyoongea-tazama petro alitambuliwa hata kwa kuongea kwake kuwa ni mwanafunzi wa Kristo. Kuna usemi wa mwamini, ni tofauti na mataifa.
-Unavyotembea- pia Petro mwendo wake ulimtambulisha kuwa ni mwanafunzi wa Kristo
Kumbe kuna mwendo pia wa mwamini, si wa kurukaruka au kuyumbayumba kama mlevi bali wa kujiamini kama aliyebeba maono.

-Kuvaa- hapa lazima mavazi yawe ya kujisitiri. Soma 1Tim2:9. Na pia kupangilia vizuri uvaaji. Mpendwa asichanganye uvaaji katika mazingira mbalimbali na apangilie mavazi vizuri kwa unadhifu.

-Pia kuoga, kupasi nguo, na kupaka mafuta na marashi safi.

-mpangilio wa nyumba si kwa kuweka vitu hovyo hovyo pia ni sehemu ya utakatifu
Kuna wakristo hudhania kiroho ni kuishi maishi bila mpangilio (rough) ya hovyo eti tu ili mradi ana uhusiano mzuri na Mungu. Huu ni upotofu kwani watumishi wa Mungu ni watanashati wakubwa: jifunze kwa Yusufu, mfalme Daudi na Sulemani walikuwa nadhifu sana kiasi cha kumvutia kila mtu. Pia vijana Daniel na wenzake walikuwa nadhifu kiasi cha kupendwa na wafalme wa babeli.

2. Utakatifu ni kitu cha kutafutwa
“Tafuteni kwa bidii kuwa na amani na watu wote, na huo utakatifu, ambao hapana atakayemwona Bwana asipokuwa nao” (Ebr 12:14)

3. Utakatifu ni lazima kwa anayetaka kumwona Mungu. Rejea Ebr 12:14. Tena Utakatifu ni kuishi na Mungu.

4. Utakatifu ni kujizoeza. Soma Isa 1:16. Tena ni zoezi lisiloisha 1thes 4:7

5. Neno ni takatifu na wanaolifuata lazima wawe watakatifu. Rum 7:12

6. Utakatifu ni makao ya roho mtakatifu. Mdo 2:38 na haiwezekani kuwa mtakatifu pasipo Roho Mtakatifu. Rum 8:28

7.Utakatifu ni upekee; unakuwa maalum ukiwa mtakatifu maana umetengwa na Mungu mwenyewe.

8. Utakatifu ni kuwa nuru. Unakufanya uangaze na uwavutie watu kwa Yesu

9. Utakatifu uhusisha unachotenda na unachowaza. Unachowaza lazima utakitenda.

Jinsi ya kuishi maisha matakatifu

1. Penda kusikia maneno ya Mungu Mithali 4:20

2. Badili mtazamo wako “Jihesabu kwamba umekufa katika dhambi unaishi kwa ajili ya Mungu katika Kristo. Rum 6:11
Mara zote utakutana na majaribu lakini unapaswa kuyaambia nimekufa katika hayo yalikuwa ni sehemu yangu ya maisha ya kale. Mimi ni mpya ka ajili ya Kristo. Akili na mwili vijue hivyo na viishi hivyo.

3. Kutengeneza mahusiano na Mungu. Yaani kujiunga kwa Kristo moja kwa moja kunawezesha utakatifu kuwa maisha rahisi. 1Pet 3:20
Ki ukweli japo twafundisha utakatifu, japo twawashawishi watu kuwa watakatifu lakini daima utakatifu haufundishwi. Kila mmoja wetu anapaswa kuishi maisha matakatifu kwa ajili yake mwenyewe na kwa hiyari. UTAKATIFU HAUFUNDISHWI, KUPEWA AU KULAZIMISHWA.

Utakatifu ni matokeo ya uhusiano na mtu fulani mtakatifu. Kadri tunavyojiweka karibu mtu mtakatifu ndivyo tunavyoweza kuanza kuuishi utakatifu. Ni sawa kabisa na kuweka msumari kwenye mwali wa mshumaa- msumari utapata moto. Msumari hautakuwa na msaada wowote kwa mshumaa bali wenye utapokea joto la mshumaa. Kwa kadri tunavyojiweka karibu na Kristo, ndivyo tunavyozidi kuwa watakatifu. Zab 61:3-4
Mambo yanayokuhusianisha na Mungu ni pamoja na kusikia, kujifunza na kuliishi neno la Mungu na kudumu katika maombi.

4. Kulinda sana moyo wako. Mit 4:23

5. Thamini wokovu kuwa ni wa thamani. Tujifunze kwa Yusufu aligoma kulala na Potifa kwa sababu moja tu aliogopa kumtenda Mungu dhambi pia kuharibu jukumu lake. Nasi tangu tulipookoka tunapaswa kuuona wokovu ni wa thamani kuliko chochote. Mwa 39:8-10 Ebr 2:3

6. Uwe mwepesi kuomba msamaha unapokosea. Kiburi na ubinafsi ni sumu mbaya kabisa ya utakatifu. Makosa yanakushtaki kila unapomkaribia Kristo na hatimaye utakatifu unaondoka kabisa.

7. Jifunze

proshabo
5 Views · 1 year ago

INJILI YA MOTO, INJILI HAI

proshabo
2 Views · 1 year ago

INJILI YA YESU KRISTO NI INJILI INAYOUMBA NA KUGEUZA MAANA NI INJILI TAKATIFU AMBAYO NDIO ASILI YA MUNGU.

proshabo
8 Views · 1 year ago

Yakobo 4:8
Mkaribieni Mungu, naye atawakaribia ninyi. Itakaseni mikono yenu, enyi wenye dhambi, na kuisafisha mioyo yenu, enyi wenye nia mbili.

Maarifa ya Ki-Mungu
@SIRI ZA BIBLIA
www.sirizabiblia.com
+255 758 708 804
https://linktr.ee/sirizabiblia

Instagram Account
https://www.instagram.com/siri_za_biblia/

SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI

proshabo
2 Views · 1 year ago

2 Nya 7:14
ikiwa watu wangu, walioitwa kwa jina langu, watajinyenyekesha, na kuomba, na kunitafuta uso, na kuziacha njia zao mbaya; basi, nitasikia toka mbinguni, na kuwasamehe dhambi yao, na kuiponya nchi yao.
Maarifa ya Ki-Mungu
@SIRI ZA BIBLIA
www.sirizabiblia.com
+255 758 708 804
https://linktr.ee/sirizabiblia

Instagram Account
https://www.instagram.com/siri_za_biblia/

SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI

proshabo
3 Views · 1 year ago

Kuendelea kupata mafundisho yangu mazuri yanayohusu mahusiano yako na Mungu,Utakatifu,Uchumi na Biashara kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: Daniel Mgogo https://web.facebook.com/revdanielmgogo/
Instagram: Pastor Daniel Mgogo https://www.instagram.com/pastordanie...
YouTube : Pastor Daniel Mgogo https://www.youtube.com/channel/UCeNr...
#PastorDanielMgogo#ImaniYaKweli#InjiliYaKristo

proshabo
3 Views · 1 year ago

Nanyi jiwekeni tayari, kwa kuwa saa msiyodhani ndipo ajapo Mwana wa Adamu. (Luka 12:40 ).

Namna ya pekee ya kujiweka tayari ni kwa kusihi maisha matakatifu.

Kuna tofauti ya kuishi maisha matakatifu na kuishi maisha ya toba.

Maisha ya toba yanatoa nafasi kwa dhambi maana unajua utaitubia.

Maisha matakatifu ni maisha ya kujitenga jumla na dhambi.

Pandisha daraja toka maisha ya toba kuja maisha ya utakatifu.

UTAKATIFU PASIPO HUO HAKUNA ATAKAYEMWONA MUNGU.

#TEAM_UTAKATIFU.

proshabo
1 Views · 1 year ago

Back to the root of worship

#TuesdayWorshipMoments #BackToTheRootOfWorship #SarahK

proshabo
2 Views · 1 year ago

Na Mchungaji Daudi Ndekeja
powered by Global Family net conferences.
whatsapp Group
jiunge katika group upate masomo zaidi this link to join my WhatsApp group: https://chat.whatsapp.com/IoTirKNTv6RJU6uaEnpsQG




PMP Gospel Team
Youth Online Evengalist Team (YOET)
for support or opinion
To improve the Gospel Ministry
Contact:+255 762 573 879
E-mail:pmpstudio02@gmail.com

proshabo
4 Views · 1 year ago

#dhambi#mungu#msamaha
Naam, tukiujua wakati, kwamba saa ya kuamka katika usingizi imekwisha kuwadia; kwa maana sasa wokovu wetu uko karibu nasi kuliko tulipoanza kuamini
"Warumi 13:11"

Maarifa ya Ki-Mungu
@SIRI ZA BIBLIA
www.sirizabiblia.com
+255 758 708 804
https://linktr.ee/sirizabiblia

Instagram Account
https://www.instagram.com/siri_za_biblia/

SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI

proshabo
1 Views · 1 year ago

Agosti 15 2021 kanisa la Fpct kote nchini Tanzania katika majimbo yetu 25 kumefanyika sherehe kwa idara ya wanawake watumishi 'U.W.W' na katika tawi la Fpct Shalom Temple hapa manispaa ya Kahama, siku iyo imehitimishwa kwa wamama watumishi kumzawadia mchungaji wetu kiasi cha shilingi milioni mbili kwa ajili ya ununuzi wa viti vya ndani {Sofa Seti}.

Kanisa tunaipongeza idara hii ya Wanawake kwa utumishi walioufanya katika nyumba ya mchungaji wetu, Mungu awabariki sana amen.

KANISA LIPO MANISPAA YA KAHAMA KATIKA MKOA WA SHINYANGA KATA YA NYIHOGO ENEO LINALOITWA MNAZI MMOJA AU WAWEZA KUTUPIGIA SIMU:- +255 757929669 .
-----------------------------------------------------------------
- WEBSITE👉http://shalomtemplelive.org/​​​​​​​​​...
----------------------------------------------------------------
- FACEBOOK👉https://bit.ly/3c1guBA​​​​​​​​​​​​​​​...
------------------------------------------------------------
- INSTAGRAM👉https://bit.ly/2VarfKJ​​​​​​​​​​​​​​​...
----------------------------------------------------------
- TWITTER👉https://bit.ly/3bXwUur​​​​​​​​​​​​​​​...
--------------------------------------------------------
- WHATSAPP👉+255 757 92 96 69

proshabo
1 Views · 1 year ago

#Uhaimedia
CONTACT UHAI MEDIA +255 752 348 789

MAFUNDISHO YA NENO LA MUNGU
https://www.youtube.com/watch?v=BkCfS_stC30&list=PLG4PW7sUJu42P7P0miZ6nKPJ0bN7nACVd
HABARI
https://www.youtube.com/watch?v=RPFTIKZOegk&list=PLG4PW7sUJu43BKMTjrbjKvFbLt97FLrk_
FIKIRI TOFAUTI
https://www.youtube.com/watch?v=_ciwgUsFAvI&list=PLG4PW7sUJu42n7lf4Sy1elnFCN26cY9nl
MAKALA FIKRA TUNDUIZI
https://www.youtube.com/watch?v=8yyheoVLmD4&list=PLG4PW7sUJu40i98c5d3UCW7Y95Te6BAFu
SHUHUDA
https://www.youtube.com/watch?v=p67DH6kGHH4&list=PLG4PW7sUJu42xKxBrRqGm0ZCMiUpm5OvA
FAHAMU ZAIDI YA JANA
https://www.youtube.com/watch?v=6_ykbW3rtu4&list=PLG4PW7sUJu400nRsOEZLlK3_Du7qis6NX
SIMULIZI ZA VITABU
https://www.youtube.com/watch?v=5GpFju_JE6A&list=PLG4PW7sUJu43zmc4AjNAefcNemyxDJ49U
BIBLIA YANGU
https://www.youtube.com/watch?v=jl0lj2-BEmQ&list=PLG4PW7sUJu43-SW8MkliT5B6X_JdEc6dj
NYIMBO ZA INJILI
https://www.youtube.com/watch?v=pIElorLigs4&list=PLG4PW7sUJu4397_BeX_xYCypq2GF9cxG9

proshabo
2 Views · 1 year ago

Utakatifu wenyewe au hekima yenyewe ni kufanikisha mambo wala si kufurahisha kila mtu. Zabubri 101

Lakini pia utakatifu lazima ukufanye kuwa kiongozi au viongozi kuendesha mambo kwa neno lako. Mithali 12:26.

proshabo
2 Views · 1 year ago

Maisha na utakatifu -Mchungaji Peter Mahenge

proshabo
1 Views · 1 year ago

Mkutano wa Amani uliofanyika Mwanza. Neno la Mungu kutoka kitabu cha Nabii Isaya.

(Crusade of Piece executed at Mwanza Region Tanzania. Word of God read from the book of Prophet Isiah )


Isaya 35:8
Na hapo patakuwa na njia kuu, na njia, nayo itaitwa, Njia ya utakatifu; wasio safi hawatapita juu yake; bali itakuwa kwa ajili ya watu hao; wasafirio, wajapokuwa wajinga, hawatapotea katika njia hiyo.

Isaiah 35:8
And an highway shall be there, and a way, and it shall be called The way of holiness; the unclean shall not pass over it; but it shall be for those: the wayfaring men, though fools, shall not err therein.

welcome to hear the message from God and also share with your friend.
Thanks a lot. I love you all.

proshabo
3 Views · 1 year ago

Kuna maisha baada ya Kufa, ni maisha ya milele. Kila mtu ataishi milele, wenye haki na wenye dhambi wote, tutaishi milele. Aidha Jerusalem milele au Jehanamu milele. na Kitu pekee unachovuka nacho kutoka duniani kwenda milele, ni uhusiano wako na Mungu. Na huo ndio unaoamua utaishi wapi milele. Huendi na pesa, wala tuzo wala vyeti vyako. Vitu hivi vinachukua muda wetu mwingi, jap havina nafasi ya kutusaidia baada ya kufa. Tafuta uhusiano mzuri na Mungu kwa toba na kumpokea Yesu Kristo kuwa BWANA na Mwkozi wako. kisha ... Boresha uhusiano wako na Mungu, takasa uhusiano wako na Mungu. Linda uhusiano wako na Mungu, ndicho kitu cha thamani kuliko fedha na dhahabu. Yesu alisema "itakusaidia nini kuupata ulimwengu wote, halafu ukapata hasara ya roho yako?" Mathayo 16:26

Mwl. Mgisa Mtebe, Christ Rabbon ministry. Dar es Salaam Tanzania. mgisarabbon@gmail.com www.mgisamtebe.or.tz +255753497655 +255713497654

proshabo
2 Views · 1 year ago

Ibada iliyofanyika Katika kanisa La Vuka Yordan Ngaramtoni Arusha Tanzania,Na kuongozwa na Mtumishi wa Mungu Bishop Elibariki Sumbe.

Follow kurasa za Bishop Sumbe,Bofya Link Hapa Chini.

https://facebook.com/BishopElibarikiSumbe

https://instagram.com/BishopElibarikSumbe

Website
https://Vukayordani.Org

LIKE | COMMENT | SHARE.

UBARIKIWE.

#VukaYordaniChurch #NgaramtoniArusha

proshabo
2 Views · 1 year ago

Nipo hapa kwa ajili ya Kumshuhidia BWANA YESU na KUTAHADHARISHA Watu wa Mungu kuhusu WOKOVU, KUTUNZA UTAKATIFU na Jinsi ya KUTENGENEZA na BWANA YESU. Mara nyingi mimi hushuhudia maeneo ya Dodoma Stand ya Mabasi.

Kwa MAOMBI na Kutuma Sadaka kwa Ajili ya Kazi ya Mungu, tafhadhali tumia: Tigo +255 716 778 693 au Voda +255 768 906 552

Tafadhali SHARE na WENGINE ili Watu wa Mungu WAPONE.

Bwana Yesu Akubariki sana kwa Kusimama nami kuifanya KAZI ya MUNGU. Amina.

proshabo
2 Views · 1 year ago

Mengi zaidi/ama mambo muhimu wasiyoyajua wengi kuhusiana na utakatifu wa Mungu.
(Tena mtaifahamu kweli, nayo hiyo kweli itawaweka huru. John 8:32)

proshabo
1 Views · 1 year ago

Ibada ya Jumapili Asubuhi katika kanisa la Gospel Campaign Centre TAG Majumbasita - Ukonga, Dar es salaam chini ya Mch Moses Magembe.

Ujumbe: UTAKATIFU
Andiko: MAMBO YA WALAWI 19:1-2
Mnenaji: MCH MOSES MAGEMBE
Tarehe: 26.02.2023

proshabo
2 Views · 1 year ago

#SYLASS TV ONLINE WASILIANA NASI KWA +255742692079

proshabo
2 Views · 1 year ago

Kuishi maisha ya kumpendeza Mungu ni Maamuzi

proshabo
1 Views · 1 year ago

#SYLASS TV ONLINE WASILIANA NASI KWA +255742692079
UNAWEZA KUTUMA SADAKA YAKO KWA M_PESA +255742692079
YOU CAN SEND YOUR LOVE OFFERING TO THESE NUMBERS M_PESA +255742692079

proshabo
1 Views · 1 year ago

#SYLASS TV ONLINE WASILIANA NASI KWA +255742692079
UNAWEZA KUTUMA SADAKA YAKO KWA M_PESA +255742692079
YOU CAN SEND YOUR LOVE OFFERING TO THESE NUMBERS M_PESA +255742692079

proshabo
1 Views · 1 year ago

#SYLASS TV ONLINE WASILIANA NASI KWA +255742692079

proshabo
2 Views · 1 year ago

#SYLASS TV ONLINE WASILIANA NASI KWA +255742692079
UNAWEZA KUTUMA SADAKA YAKO KWA M_PESA +255742692079
YOU CAN SEND YOUR LOVE OFFERING TO THESE NUMBERS M_PESA +255742692079

proshabo
3 Views · 1 year ago

#SYLASS TV ONLINE WASILIANA NASI KWA +255742692079

proshabo
2 Views · 1 year ago

#SYLASS TV ONLINE WASILIANA NASI KWA +255742692079
UNAWEZA KUTUMA SADAKA YAKO KWA M_PESA +255742692079
YOU CAN SEND YOUR LOVE OFFERING TO THESE NUMBERS M_PESA +255742692079

proshabo
4 Views · 1 year ago

Mtumishi wa Mungu alivyoelezea jinsi maisha ya mtakatifu na sura yake inavyotakiwa kuwa ili na Mungu amuhesabie haki

proshabo
1 Views · 1 year ago

Askofu Mkuu wa Makanisa ya Moses Kulola International Dr.Michael Kulola anasimulia Mengi kuhusu Babu yake Hayati Moses Kulola .

proshabo
2 Views · 1 year ago

#SYLASS TV ONLINE WASILIANA NASI KWA +255742692079
UNAWEZA KUTUMA SADAKA YAKO KWA M_PESA +255742692079
YOU CAN SEND YOUR LOVE OFFERING TO THESE NUMBERS M_PESA +255742692079

proshabo
1 Views · 1 year ago

#SYLASS TV ONLINE WASILIANA NASI KWA +255742692079
UNAWEZA KUTUMA SADAKA YAKO KWA M_PESA +255742692079
YOU CAN SEND YOUR LOVE OFFERING TO THESE NUMBERS M_PESA +255742692079




Showing 25 out of 26