Næste

BREAKING: TRA kuanza kumchunguza Kakobe, “nina hela kuliko Serikali”

2 Visninger· 31 Oktober 2023
proshabo
proshabo
5 Abonnenter
5

"Nina hela kuliko serikali" ni kauli aliyoinukuu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Charles Edward Kichere kutoka kwa Askofu Kakobe. Kauli hiyo imeifanya TRA kuanzisha uchunguzi dhidi yake.

Vis mere

 0 Kommentarer sort   Sorter efter


Næste