BREAKING: TRA kuanza kumchunguza Kakobe, “nina hela kuliko Serikali”
0
0
2 Kutazamwa·
31 Oktoba 2023
katika
Mafundisho ya Biblia
"Nina hela kuliko serikali" ni kauli aliyoinukuu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Charles Edward Kichere kutoka kwa Askofu Kakobe. Kauli hiyo imeifanya TRA kuanzisha uchunguzi dhidi yake.
Onyesha zaidi
0 Maoni
sort Pangilia kwa