BREAKING: TRA kuanza kumchunguza Kakobe, “nina hela kuliko Serikali”
0
0
2 vistas·
31 Octubre 2023
"Nina hela kuliko serikali" ni kauli aliyoinukuu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Charles Edward Kichere kutoka kwa Askofu Kakobe. Kauli hiyo imeifanya TRA kuanzisha uchunguzi dhidi yake.
Mostrar más
0 Comentarios
sort Ordenar por