BREAKING: TRA kuanza kumchunguza Kakobe, “nina hela kuliko Serikali”
0
0
2 Vues·
31 Octobre 2023
Dans
Bible Teachings
"Nina hela kuliko serikali" ni kauli aliyoinukuu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Charles Edward Kichere kutoka kwa Askofu Kakobe. Kauli hiyo imeifanya TRA kuanzisha uchunguzi dhidi yake.
Montre plus
0 commentaires
sort Trier par