Suivant

BREAKING: TRA kuanza kumchunguza Kakobe, “nina hela kuliko Serikali”

2 Vues· 31 Octobre 2023
proshabo
proshabo
5 Les abonnés
5

"Nina hela kuliko serikali" ni kauli aliyoinukuu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Charles Edward Kichere kutoka kwa Askofu Kakobe. Kauli hiyo imeifanya TRA kuanzisha uchunguzi dhidi yake.

Montre plus

 0 commentaires sort   Trier par


Suivant