BREAKING: TRA kuanza kumchunguza Kakobe, “nina hela kuliko Serikali”
0
0
2 مناظر·
31 اکتوبر 2023
میں
Bible Teachings
"Nina hela kuliko serikali" ni kauli aliyoinukuu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Charles Edward Kichere kutoka kwa Askofu Kakobe. Kauli hiyo imeifanya TRA kuanzisha uchunguzi dhidi yake.
مزید دکھائیں
0 تبصرے
sort ترتیب دیں