Bible Teachings

proshabo
2 Views · 1 year ago

#Mezayabusara #Shalomtvonline
Ungana na Bishop Gamanywa kupitia https://www.facebook.com/Bishopsylves... Yesu ni zaidi ya maji,mafuta,vitambaa na vitu vyote! ndio maana tunatangaza bali sisi tunamhubiri KRISTO. JUKWAA LA KUMHUBIRI KRISTO HILI HAPA...https://www.youtube.com/watch?v=b01YK...
KUUNGANA NA JUKWAA HILI TEMBELEA SHALOM TV ONLINE KISHA Subscribe.. http://www.youtube.com/c/ShalomTvOnline

proshabo
1 Views · 1 year ago

#wasafi #TheStoryBook #KIAMA Simulizi inayohusu mambo yatakayotokea Siku ya Mwisho wa dunia kama inavyosimuliwa toka baadhi ya vitabu vay dini.

proshabo
2 Views · 1 year ago

Uzoefu wa mtunzi wa wimbo huu unashangaza sana! si jambo rahisi kupitia haya kisha ukaendelea kusimama imara..

proshabo
1 Views · 1 year ago

#paschalcassian #call0688199370 #

proshabo
3 Views · 1 year ago

KARIBU KATIKA CHANNEL HII.. utapata kujifunza mengi kuhusu Mungu,
Amosi-3:7 / Mithali -8:4-5

MAOMBI YANAFANYIKA KWA WALIO MBALI. Kwa majina yao.
👉 YEREMIA- 23:23

AMOSI- 3:7
7 Hakika Bwana MUNGU hatafanya neno lolote, bila kuwafunulia watumishi wake manabii siri yake.

MWISHO WA DUNIA NI MWAKA
2673. 21
👆EZEKIELI-12:27-28
27 Mwanadamu, tazama, hao wa nyumba ya Israeli husema, Maono hayo ayaonayo ni ya siku nyingi zijazo, naye anatabiri habari ya nyakati zilizo mbali sana.
28 Basi uwaambie, Bwana MUNGU asema hivi; Maneno yangu hayatakawilishwa tena hata moja, bali neno nitakalolinena litatimizwa, asema Bwana MUNGU.

UFUNUO-14 (2-3) YESU KABRA YA KUJA MARA YA TATU KUANGAMIZA DUNIA YOTE ATAMTUMA MALAIKA WAKE.kuhubili injili dunia nzima.
kama alivyomtuma yohana kabla ya kuja kwake .( Yohana-1 : 6-7)
Kama alivyo muagiza Nuhu kabla hajaangamiza ulimwengu wote.
(Mwanzo- 6 : 13 na Mwanzo- 7 : 1-4)
Kama alivyo muambia ibrahimu kabla hajaiangamiza sodoma na gomola.
(Mwanzo- 18 : 17-24)
Kama alivyo mtuma malaika kumuambia maria na yusufu kua watapata mtoto
(Luka- 1 : 30-32)
Na kuja kwake mara ya pili amenituma mimi mtumishi wake kuwapa habali ya mwisho wa ulimwengu wote.na unyakuo
(Isaya- 42 : 9)( Amosi-3:7)

NABII WA MUNGU.
- BONIFACE. VICTOR
👉ZABURI- 4 (2-4)

proshabo
2 Views · 1 year ago

FAFANUZI RAHISI YA KITABU CHA UFUNUO WA YOHANA - UTANGULIZI (Na Bishop Dr. Fredrick Simon)
I. UTANGULIZI
A. Jina: Ufunuo wa Yesu Kristo. Ufu. 1:1
B. Mwandishi: Yohana Mwana wa Zebedayo.
(Amejitaja mara 4, Ufu 1:1,4,9, 22:1

C. Tunaweza kumfananisha Yohana na Musa kwa sababu:-
1. Wote walikuwa Manabii. Kum 18:18, Ufu 22:8,9
2. Musa aliandika vitabu 5 vya mwanzo wa Biblia na Yohana aliandika vitabu vitano(5) vya mwisho wa Biblia
-Walianza na neno "Hapo mwanzo"
3. Musa aliandika habari ya mianzo ya vitu vyote na Yohana aliandika miisho ya vitu vyote.
4. Musa alikufa akiwa kiongozi wa kanisa la Jangwani na Yohana alifaliki akiwa kiongozi wa kanisa la Efeso.

D. Kaisari wa Kirumi, Domitiani alimpeleka Yohana Patmo kama mwaka 95bk hivi. Kwa kuwa Yohana alikataa kumwabudu Kaisari kama Mungu.
-Patmo ipo nchini Ugiriki katika bahari ya Mediterania, Mkoa wa Kalymnos, Wilaya ya Aegean.

E. Kitabu cha Ufunuo wa Yohana kina:-
- Sura 22
- Aya 404
- Maswali 9
- Maneno yapatayo 12,000
- Ni kitabu cha 66 katika Biblia


#Bishop #Dr #FredrickSimon #ufunuowayohana #tanzania

proshabo
0 Views · 1 year ago

Njia Saba (7) Za Kugundua Kipaji Chako :-
1.Njia Ya Kujitathimini (Personal Evaluation).
2.Uliza Watu Wako Wa Karibu (Ask Close People).
3.Toka Eneo Lako La Kuridhika (Step Out Of Your Comfort Zone).
4.Jaribio Linaloweza Kuonyesha Wewe Ni Nani (Personality Test).
5.Jiulize Unapenda Nini Zaidi ?(What Do You Love Most?).
6.Watu Gani Unavutiwa Nao ?(What People Do You Admire Most?).
7.Kitu Gani Ni Rahisi Kwako?(What is Easy For Me?).
Kati Ya Njia Hizo Saba(7),Je Ni Njia Gani Unahisi Unaweza Kuitumia Kugundua Kipaji Chako,Tujadiliane Hapa Chini.
#JoelNanauka#KipajiChako#KugunduaKipaji.

proshabo
2 Views · 1 year ago

karibuni jamani

proshabo
4 Views · 1 year ago

Neno linasema katika Ufunuo wa Yohana 19:10 ".... kwa maana ushuhuda wa Yesu ndio roho ya unabii." Ungana na Mwalimu katika sehemu hii akifundisha kuhusu Roho ya Unabii
__
Jifunze zaidi kutoka kwa Mwalimu Huruma Gadi, tembelea www.neemanakweli.org
__
MFUATILIE MWALIMU HURUMA GADI
__
Facebook: http://facebook.com/mwalimuhurumagadi
Twitter: https://twitter.com/mwalimuhurumagadi
Instagram: http://instagram.com/mwalimuhurumagadi

Jiunge na TELEGRAM GROUP : "DARASANI NA MWALIMU HURUMA GADI" - tuma neno "NIUNGE" kwenda +255 764 500242

___
SUBSCRIBE KATIKA YOUTUBE
___
Usipitwe na Somo lolote: www.youtube.com/UZIMATIME
___

KWA MAOMBI AMA MASWALI
___
+255 764 500242
+255 673 500242
info@neemanakweli.org

proshabo
3 Views · 1 year ago

MCHUNGAJI HANANJA AFUNGUKA HAYA KUHUSU USHOGA "BALEHE SIO MCHEZO"


WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113

LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻

Follow Us On:
INSTAGRAM: http://instagram.com/wasafitv || http://instagram.com/wasafifm/
TWITTER: https://twitter.com/wasafitv || https://twitter.com/wasafifm/
FACEBOOK: https://www.facebook.com/wasafitv/

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

proshabo
2 Views · 1 year ago

Watu wengi wanasema wameokoka siku hizi, lakini je unafahamu maana halisi ya neno wokovu? Katika video hii utakwenda kujifunza kwa undani zaidi nini maana ya wokovu halisi.

proshabo
3 Views · 1 year ago

#Mezayabusara #Shalomtvonline
Ungana na Bishop Gamanywa kupitia https://www.facebook.com/Bishopsylves... Yesu ni zaidi ya maji,mafuta,vitambaa na vitu vyote! ndio maana tunatangaza bali sisi tunamhubiri KRISTO. JUKWAA LA KUMHUBIRI KRISTO HILI HAPA...https://www.youtube.com/watch?v=b01YK...
KUUNGANA NA JUKWAA HILI TEMBELEA SHALOM TV ONLINE KISHA Subscribe.. http://www.youtube.com/c/ShalomTvOnline

proshabo
3 Views · 1 year ago

Business Master Class is the practical course that is organized by CCC-Upanga to empower and motivate entrepreneurial spirit. Individuals are exposed to important concepts of business from start to finish, ministry and organizational skills to become more successful in 21 Century. Dr. Lucas D. Shallua is challenging the participants to think effectively and progressively as it all starts with thinking correctly and rest is the results.

proshabo
2 Views · 1 year ago

so exiting about my first video
Atis vendo

http://vevo.ly/YCMeK5

proshabo
3 Views · 1 year ago

MKESHA HUU MKUBWA ULIAMBATANA NA UJUMBE WA NENO LA MUNGU KUTOKA KWA ASKOFU MKUU SYLVESTER GAMANYWA PAMOJA NA UJAZO WA ROHO MTAKATIFU BONYEZA LINK HAPA CHINI

https://youtu.be/FrwgPbX_NeQ

proshabo
2 Views · 1 year ago

Business Master Class is the practical course that is organized by CCC-Upanga to empower and motivate entrepreneurial spirit. Individuals are exposed to important concepts of business from start to finish, ministry and organizational skills to become more successful in 21 Century. Dr. Lucas D. Shallua is challenging the participants to think effectively and progressively as it all starts with thinking correctly and rest is the results.

proshabo
2 Views · 1 year ago

so exiting about my first video
Atis vendo

http://vevo.ly/YCMeK5

proshabo
14 Views · 1 year ago

#Mezayabusara #Shalomtvonline
Ungana na Bishop Gamanywa kupitia https://www.facebook.com/Bishopsylves... Yesu ni zaidi ya maji,mafuta,vitambaa na vitu vyote! ndio maana tunatangaza bali sisi tunamhubiri KRISTO. JUKWAA LA KUMHUBIRI KRISTO HILI HAPA...https://www.youtube.com/watch?v=b01YK...
KUUNGANA NA JUKWAA HILI TEMBELEA SHALOM TV ONLINE KISHA Subscribe.. http://www.youtube.com/c/ShalomTvOnline

proshabo
0 Views · 1 year ago

#ShuleyaUnyenyekevu #Mubasharajumapilibcic #Shalomtvonline
Ungana na Bishop Gamanywa kupitia https://www.facebook.com/Bishopsylves...
TEMBELEA SHALOM TV ONLINE KISHA Subscribe.. http://www.youtube.com/c/ShalomTvOnline

proshabo
2 Views · 1 year ago

#kawe
#mwakawabarakazakuongezekanakuzidishwa
#utatembeanajeshilisiloonekana
#utatawalanakumiliki
#ariseandshinetanzania

proshabo
7 Views · 1 year ago

Inapotajwa orodha ya vijana wanasiasa ambao nyota zao zilianza kung’ara katika Serikali ya Awamu ya Tano, Jokate Mwegelo ni miongoni mwa watakaokuwepo kwenye orodha hiyo.

Ni kati ya wakuu wa wilaya vijana ambao wameonyesha uwezo mkubwa kiutendaji na kuzidi kujenga imani kwa vijana kwamba wanapopata nafasi wanaweza kufanya makubwa.

Machoni mwa wengi mwanadada huyu alianza kuonekana katika mashindano ya urembo akitwaa mataji ya Miss Kurasini, Miss Temeke na hatimaye akaibuka mshindi wa pili katika kinyang’anyiro cha Miss Tanzania mwaka 2006.

Sanaa haikuishia hapo kwa Jokate kwani alionekana pia kwenye filamu na muziki baadaye akajitosa kwenye siasa na mwaka 2017 kuteuliwa kuwa kaimu katibu wa idara ya uhamasishaji na chipukizi wa Umoja wa Vijana wa CCM.

Nafasi hiyo alidumu nayo kwa miezi na kuondolewa na kukaa benchi kwa miezi mitatu kisha jina lake likawa kwenye orodha mpya ya wakuu wa wilaya iliyotolewa na Rais John Magufuli Julai 2018 akiteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe mwaka 2016.

Hatua zote alizopitia kwenye urembo, burudani na hata siasa alikuwa yeye kama yeye lakini mwishoni mwa mwaka 2022 akapata mtoto ambaye kwa kiasi fulani amebadili taswira na mwenendo wa maisha yake.

Mwananchi ilifunga safari hadi Korogwe ambako ndiko anakohudumu sasa kama mkuu wa wilaya na kufanya naye mahojiano maalum akieleza mambo kadha wa kadha kuhusu ujio wa mtoto wake, maisha yake kwa sasa na mtazamo wake kuhusu ndoa na familia.

proshabo
2 Views · 1 year ago

Unataka kutuunga mkono? Tuchangie chochote kuanzia Tsh 500 nakuendelea. Kiwango chochote ni kikubwa sana kwetu na tunathamini sana. Unawezakutuchangia ukiwa popote pale duniani.

Bofya hapa chini kutuchangia;
https://flutterwave.com/donate/uznwvj3q1jox

proshabo
0 Views · 1 year ago

mfululizo wa mahubiri ya uhuru hatimaye

proshabo
2 Views · 1 year ago

Ufunuo 13:15

Mungu anatengeneza wokovu kwenye kila jambo , hata hili lina wokovu wake.

Ufunuo 16:2
Kinachong’ang’aniwa sasa hivi ni chapa ya mnyama.
Ikija wakati wa kupewa namba ya impinga Kristo itakuwa lazima na wote wakao ikataa wataonekana wajinga.

Kuuwawa kwa watu wakati wa Corona kutaendelea sababu watu hawataki kumjua Mungu wa kweli.

Kutubu na kumjua Mungu wa milele ndio uzima wetu -Yohana 17:3

Watu wengi wanasema wanamjua na kumtumikia Mungu , lakini Je ni Mungu gani? . Kwasababu dhambi kubwa nikutomjua Mungu wa kweli na pekee.

proshabo
1 Views · 1 year ago

#Shalomtvonline #bishopkakobe #vernonfernandes #moyowaibada #waabuduohalisi
Ungana na Bishop Gamanywa kupitia https://www.facebook.com/Bishopsylves... Yesu ni zaidi ya maji,mafuta,vitambaa na vitu vyote! ndio maana tunatangaza bali sisi tunamhubiri KRISTO. JUKWAA LA KUMHUBIRI KRISTO HILI HAPA...https://www.youtube.com/watch?v=b01YK...
KUUNGANA NA JUKWAA HILI TEMBELEA SHALOM TV ONLINE KISHA Subscribe.. http://www.youtube.com/c/ShalomTvOnline

proshabo
1 Views · 1 year ago

Shalom TV Online (26-08-2018)
KARIBU IBADA
Live/Mubashara kutoka BCIC Mbezi Beach, Jogoo, Dar es Salaam

proshabo
3 Views · 1 year ago

BWANA Yesu anakuja kuchukua Kanisa tukufu, Takatifu, lisilo na ila wala makunyanzi, Kanisa bila lawama (Efe 5:25-27, 1Thes 5:23). Yatupasa kujitakasa kabisa, Roho, Nafsi na Mwili. Lakini mchakato huu wa Utakaso, hauwezi kuwa mkamilifu, bila mhusika kujijua namna alivyoumbwa, yaani kuzifahamu vizuri sehemu Kuu za Mwanadamu, zinazohitaji Utakaso Kamili, yaani Mwili, Nafsi na Roho. Katika SOmo hili, tulijifunza kwanza Kujitambua, ndipo tukajifunza Namna ya Kufanya Utakaso Kamili, ili ajapo Mwana wa Adam, Yesu Kristo, atukute tupo tayari na tupo safi. Unaweza kujipatia DVD na CD za somo hili, kwa Mawasiliano haya; +255753497655. Mungu akubariki. Tafadhali washirikishe na wenzako wengine wengi.

proshabo
1 Views · 1 year ago

Karibuni sana katika Channeli hii inayomilikiwa na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania {TEC}ikiwa ni moja ya chombo cha Uinjilishaji kwa njia ya Sauti na Video.Pia unaweza kutufuatilia kupitia mitandao yetu ya kijamii kama ifuatavyo.

INSTAGRAM:https://www.instagram.com/kanisa_katolikitz/

FACEBOOK:https://www.facebook.com/BarazaMaaskofuKatolikitz

Whatsup: 0738 916 628...KANISA KATOLIKI TANZANIA

Usisahau Kusubscribe,like na kushare maudhui yetu...

proshabo
1 Views · 1 year ago

Naitwa Askofu Sylveter Gamanywa muangalizi mkuu wa kitaifa wa makanisa ya wapo mission international,furaha yangu ni kukutambulisha kwenywe tovuti yangu mpya ya SADAKA network na ukifungua katika Tovuti hii utakutana na zawadi yangu ambayo ni yam waka huu yenye cheti maalum cha salamu za mwaka mpya utapata cheti hicho bila malipo yoyote.

Karibu kutembelea katika tovuti yangu ya SADAKA network.

proshabo
2 Views · 1 year ago

KARIBU BCIC MBEZI BEACH KWA AJILI YA;
#Fundisho Sahihi la Kristo
#Uponyaji wa Yesu Kristo
#Nguvu za Roho Mtakatifu
KWA USHAURI WA KIBIBLIA NA MAOMBEZI WASILIANA NASI KUPITIA NAMBA HIZI: 0710 126 688 | 0758 751 111
#amani
#upendo
#furaha
#wapotvonline

proshabo
3 Views · 1 year ago

ONA KILICHOTOKEA KWA MTOTO WA KOLENDA- KIGAMBONI SIKU YA 4 TAR.09/10/2021. HII NDIYO HALI HALISI.
FUATILIA--https://youtu.be/v8kvfk4hbkc
#kupokeanguvuzaRohomtakatifu #ShuleyaUnyenyekevu #Mubasharajumapilibcic #ShalomtvTanzania
Kwa Taarifa mbalimbali kuhusu huduma zetu,pamoja na Mafundisho ya KINA ZAIDI,
Ungana na Bishop Gamanywa kupitia https://www.facebook.com/Bishopsylvestergamanywa
TEMBELEA SHALOM TV TANZANIA KISHA
Subscribe👇👇👇👇👇👇👇
https://www.youtube.com/c/shalomtvtanzania

proshabo
3 Views · 1 year ago

KAWE YATIKISWA NA KISHINDO CHA MKUTANO WA CFaN SIKU YA KWANZA-TAR.06/10/2021
BONYEZA LINK---https://youtu.be/jGJ5s2zX7jM
#kupokeanguvuzaRohomtakatifu #ShuleyaUnyenyekevu #Mubasharajumapilibcic #ShalomtvTanzania
Kwa Taarifa mbalimbali kuhusu huduma zetu,pamoja na Mafundisho ya KINA ZAIDI,
Ungana na Bishop Gamanywa kupitia https://www.facebook.com/Bishopsylvestergamanywa
TEMBELEA SHALOM TV TANZANIA KISHA
Subscribe👇👇👇👇👇👇👇
https://www.youtube.com/c/shalomtvtanzania

proshabo
2 Views · 1 year ago

Sasa macho yangu yatafumbuka, na masikio yangu yatasikiliza maombi ya watu waombao mahali hapa.
2Nyakati 7:15
Maarifa ya Ki-Mungu
@SIRI ZA BIBLIA
www.sirizabiblia.com
+255 758 708 804
https://linktr.ee/sirizabiblia

Instagram Account
https://www.instagram.com/siri_za_biblia/

SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI

proshabo
4 Views · 1 year ago

#Mezayabusara #Shalomtvonline
Ungana na Bishop Gamanywa kupitia https://www.facebook.com/Bishopsylves... Yesu ni zaidi ya maji,mafuta,vitambaa na vitu vyote! ndio maana tunatangaza bali sisi tunamhubiri KRISTO. JUKWAA LA KUMHUBIRI KRISTO HILI HAPA...https://www.youtube.com/watch?v=b01YK...
KUUNGANA NA JUKWAA HILI TEMBELEA SHALOM TV ONLINE KISHA Subscribe.. http://www.youtube.com/c/ShalomTvOnline

proshabo
1 Views · 1 year ago

KIPINDI; UJASIRIAMALI, UIMBAJI NA NENO
MNENAJI; MCH; JOSHUA NJUGUNA
NENO KUU: SHINDA VIKWAZO
WAHUSIKA; ATAPE - TANZANIA
KAULI MBIU; AKILI KICHWANI, YESU MOYONI NA PESA MFUKONI
HOST; GOODLUCK NYAMHANDI
COPYLIGHT; SIFA INTER MEDIA

proshabo
2 Views · 1 year ago

BARAZA LA MAKANISA YA KIPENTEKOSTE TANZANIA.

KONGAMANO LA WACHUNGAJI/MAASKOFU CPCT NA USIMIKAJI NA UZINDUZI WA UONGOZI AWAMU YA NNE.

"PALIPO NA UMOJA BWANA HUAMURU BARAKA ZAB 133:1-3"
CCC - UPANGA - DAR ES SALAAM, TANZANIA

proshabo
2 Views · 1 year ago

#wapotvonline #nuruyajamii
#wapotv #amani #upendo
#nuruyajamii
#Imani
#BCIC
#WapoRadio

proshabo
3 Views · 1 year ago

ZABURI HII INASAIDIA KUFUKUZA HOFU YA AINA YOYOTE

proshabo
2 Views · 1 year ago

#Ibadayashukurani #Shalomtvonline #bishopkakobe #vernonfernandes #moyowaibada #waabuduohalisi
Ungana na Bishop Gamanywa kupitia https://www.facebook.com/Bishopsylves... Yesu ni zaidi ya maji,mafuta,vitambaa na vitu vyote! ndio maana tunatangaza bali sisi tunamhubiri KRISTO. JUKWAA LA KUMHUBIRI KRISTO HILI HAPA...https://www.youtube.com/watch?v=b01YK...
KUUNGANA NA JUKWAA HILI TEMBELEA SHALOM TV ONLINE KISHA Subscribe.. http://www.youtube.com/c/ShalomTvOnline




Showing 27 out of 28