Askofu Kakobe alivyoikana Chadema, CCM
0
0
3 Mga view·
04 Agosto 2023
Askofu Mkuu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF), Zachary Kakobe amekanusha juu ya kuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa hapa nchini na kusisitiza pia kanisa lake haliungi mkono chama chochote cha siasa.
Magpakita ng higit pa
0 Mga komento
sort Pagbukud-bukurin Ayon