הבא

Askofu Kakobe alivyoikana Chadema, CCM

3 צפיות· 04 אוגוסט 2023
proshabo
proshabo
5 מנויים
5

Askofu Mkuu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF), Zachary Kakobe amekanusha juu ya kuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa hapa nchini na kusisitiza pia kanisa lake haliungi mkono chama chochote cha siasa.

להראות יותר

 0 הערות sort   מיין לפי


הבא