Askofu Kakobe alivyoikana Chadema, CCM
0
0
3 Visningar·
04 Augusti 2023
Askofu Mkuu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF), Zachary Kakobe amekanusha juu ya kuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa hapa nchini na kusisitiza pia kanisa lake haliungi mkono chama chochote cha siasa.
Visa mer
0 Kommentarer
sort Sortera efter