Inayofuata

Askofu Kakobe alivyoikana Chadema, CCM

3 Kutazamwa· 04 Agosti 2023
proshabo
proshabo
5 Wanafuatilia
5

Askofu Mkuu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF), Zachary Kakobe amekanusha juu ya kuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa hapa nchini na kusisitiza pia kanisa lake haliungi mkono chama chochote cha siasa.

Onyesha zaidi

 0 Maoni sort   Pangilia kwa


Inayofuata