Askofu Kakobe alivyoikana Chadema, CCM
0
0
3 Vues·
04 Août 2023
Dans
Bible Teachings
Askofu Mkuu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF), Zachary Kakobe amekanusha juu ya kuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa hapa nchini na kusisitiza pia kanisa lake haliungi mkono chama chochote cha siasa.
Montre plus
0 commentaires
sort Trier par