Askofu Kakobe alivyoikana Chadema, CCM
0
0
3 ビュー·
04 8月 2023
Askofu Mkuu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF), Zachary Kakobe amekanusha juu ya kuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa hapa nchini na kusisitiza pia kanisa lake haliungi mkono chama chochote cha siasa.
もっと見せる
0 コメント
sort 並び替え