Berikutnya

Askofu Kakobe alivyoikana Chadema, CCM

3 Tampilan· 04 Agustus 2023
proshabo
proshabo
5 Pelanggan
5

Askofu Mkuu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF), Zachary Kakobe amekanusha juu ya kuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa hapa nchini na kusisitiza pia kanisa lake haliungi mkono chama chochote cha siasa.

Menampilkan lebih banyak

 0 Komentar sort   Sortir dengan


Berikutnya